
Radio Tadio
12 December 2023, 8:40 pm
Mafunzo hayo yamewakutanisha wadau kutoka Asasi na Taasisi mbalimbali jijini Dodoma ili kuwajengea uwezo kuhusu upangaji wa mipango itakayo wawezesha kufanya kazi zenye tija kwa jamii. Na Mariam Kasawa. Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuandaa mipango kazi itakayo…