Radio Tadio

sumu

8 Aprili 2026, 11:56

Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?

Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…

14 Novemba 2025, 16:23

Jamii yatakiwa kuwa karibu na watu wanaopitia changamoto

Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…

13 Novemba 2025, 16:48

Wananchi Membe wahamasishwa kilimo cha umwagiliaji

Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…

5 Novemba 2025, 16:17

Kutokujituma kunaweza kupelekea tatizo la afya ya akili

Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…

22 Oktoba 2025, 16:18

Sababu za kisaikolojia zatajwa tatizo la afya ya akili

Jamii inapaswa kuondoa unyanyapaa dhidi ya watu wanaopitia changamoto za afya ya akili na badala yake, kuwasaidia kwa upendo na msaada wa kitaalamu. Na Peter Nnunduma.Sababu za kisaikolojia kama vile msongo wa mawazo, kupoteza mtu wa karibu na ajali vimetajwa…

9 Septemba 2025, 16:35

Ugumu wa maisha wapelekea visa vya kujiua kuongezeka

Aidha, vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu duniani kwa vijana wenye umri wa miaka 15–29 ambapo zaidi ya asilimia 73 ya vifo hivyo hutokea nchi zenye kipato cha chini na cha kati. Na Lilian Leopold.Kuelekea maadhimisho ya Siku…

22 Julai 2025, 13:08

Mitazamo hasi inasababishaje changamoto ya afya ya akili?

Kutokana na hali hiyo, mapema Seleman Kodima alifanya mahojiano na Apolioni Boniphace kutoka Taasisi ya Whole Health Junction na hapa anaeleza zaidi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka…