Radio Tadio

sumu

4 September 2026, 16:02

Wizara ya afya yasisitizi wa umuhimu wa elimu ya afya ya akili

Mafunzo hayo yanayofanyika jijini Dodoma ni sehemu ya jitihada za kuimarisha huduma kwa watu wenye changamoto ya matumizi ya pombe, huku wadau wakisisitiza umuhimu wa kuunganisha huduma za afya ya akili na huduma nyingine za afya nchini. Na Elizabeth Mwinuka.                                            …

30 July 2026, 17:40

Wanawake chanzo cha msongo wa mawazo kwa wanaume

Wanandoa kujenga utamaduni wa mawasiliano ya wazi, kuheshimiana na kutatua migogoro kwa njia ya mazungumzo, huku akisisitiza umuhimu wa kutafuta ushauri wa kitaalamu mapema ili kuzuia msongo wa mawazo na mfadhaiko usiathiri afya ya akili na ustawi wa familia. Na…

8 April 2026, 11:56

Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?

Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…

14 November 2025, 16:23

Jamii yatakiwa kuwa karibu na watu wanaopitia changamoto

Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…

13 November 2025, 16:48

Wananchi Membe wahamasishwa kilimo cha umwagiliaji

Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…

5 November 2025, 16:17

Kutokujituma kunaweza kupelekea tatizo la afya ya akili

Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…