sumu
30 July 2026, 17:40
Wanawake chanzo cha msongo wa mawazo kwa wanaume
Wanandoa kujenga utamaduni wa mawasiliano ya wazi, kuheshimiana na kutatua migogoro kwa njia ya mazungumzo, huku akisisitiza umuhimu wa kutafuta ushauri wa kitaalamu mapema ili kuzuia msongo wa mawazo na mfadhaiko usiathiri afya ya akili na ustawi wa familia. Na…
22 July 2026, 16:51
Athari za kiuchumi zinavyopelekea changamoto ya afya ya akili
Kwa upande wake msaikolojia mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Christopher Abuto ameshauri kuwa jamii nzima ichukue hatua ya kuyaona masuala ya maisha kuwa ni mambo ya kawaida kwa kutoweka malengo makubwa zaidi ya namna wanavyoishi na wanapokutana na magumu…
8 April 2026, 11:56
Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?
Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…
2 April 2026, 16:50
Mirembe yatakiwa kuimarisha tathmini ya watoto wenye usonji
Maadhimisho ya Siku ya Usonji Duniani yamefanyika katika Hospitali ya Mirembe, Dodoma, yakiwa na lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu hali ya usonji pamoja na kuboresha mazingira kwa watu wenye usonji. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Weka Tumaini…
14 November 2025, 16:23
Jamii yatakiwa kuwa karibu na watu wanaopitia changamoto
Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…
13 November 2025, 16:48
Wananchi Membe wahamasishwa kilimo cha umwagiliaji
Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…
5 November 2025, 16:17
Kutokujituma kunaweza kupelekea tatizo la afya ya akili
Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…
22 October 2025, 16:18
Sababu za kisaikolojia zatajwa tatizo la afya ya akili
Jamii inapaswa kuondoa unyanyapaa dhidi ya watu wanaopitia changamoto za afya ya akili na badala yake, kuwasaidia kwa upendo na msaada wa kitaalamu. Na Peter Nnunduma.Sababu za kisaikolojia kama vile msongo wa mawazo, kupoteza mtu wa karibu na ajali vimetajwa…
14 October 2025, 13:46
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wakosa huduma muhimu
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanahitaji msaada wa kitabibu, lishe, na mazoezi, huku wazazi wakipokea mwongozo kutoka serikalini na taasisi za kiraia. Na Anwary Shaban. Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma…
9 September 2025, 16:35
Ugumu wa maisha wapelekea visa vya kujiua kuongezeka
Aidha, vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu duniani kwa vijana wenye umri wa miaka 15–29 ambapo zaidi ya asilimia 73 ya vifo hivyo hutokea nchi zenye kipato cha chini na cha kati. Na Lilian Leopold.Kuelekea maadhimisho ya Siku…