sumu
14 November 2025, 4:23 pm
Jamii yatakiwa kuwa karibu na watu wanaopitia changamoto
Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…
13 November 2025, 4:48 pm
Wananchi Membe wahamasishwa kilimo cha umwagiliaji
Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…
5 November 2025, 4:17 pm
Kutokujituma kunaweza kupelekea tatizo la afya ya akili
Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…
22 October 2025, 4:18 pm
Sababu za kisaikolojia zatajwa tatizo la afya ya akili
Jamii inapaswa kuondoa unyanyapaa dhidi ya watu wanaopitia changamoto za afya ya akili na badala yake, kuwasaidia kwa upendo na msaada wa kitaalamu. Na Peter Nnunduma.Sababu za kisaikolojia kama vile msongo wa mawazo, kupoteza mtu wa karibu na ajali vimetajwa…
14 October 2025, 1:46 pm
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wakosa huduma muhimu
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanahitaji msaada wa kitabibu, lishe, na mazoezi, huku wazazi wakipokea mwongozo kutoka serikalini na taasisi za kiraia. Na Anwary Shaban. Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma…
9 September 2025, 4:35 pm
Ugumu wa maisha wapelekea visa vya kujiua kuongezeka
Aidha, vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu duniani kwa vijana wenye umri wa miaka 15–29 ambapo zaidi ya asilimia 73 ya vifo hivyo hutokea nchi zenye kipato cha chini na cha kati. Na Lilian Leopold.Kuelekea maadhimisho ya Siku…
30 July 2025, 1:53 pm
Nafasi ya watu wa karibu kumuepusha mwanaume na changamoto ya afya ya akili
Aina ya malezi wanayopitia baadhi ya wanaume wakati wa utoto wao yanaweza kuwa sababu ya changamoto ya afya ya akili. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa aina ya malezi wanayopitia baadhi ya wanaume wakati wa utoto wao yanaweza kuwa sababu ya changamoto…
22 July 2025, 1:08 pm
Mitazamo hasi inasababishaje changamoto ya afya ya akili?
Kutokana na hali hiyo, mapema Seleman Kodima alifanya mahojiano na Apolioni Boniphace kutoka Taasisi ya Whole Health Junction na hapa anaeleza zaidi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka…
15 April 2025, 3:51 pm
Ajinyonga hadi kufa kisa msongo wa mawazo
Asubuhi alikwenda shambani kuandaa mkaa aliporudi nyumbani alipewa uji na mke wake anywe na baadaye alirudi tena shambani ambapo alikutwa amejinyonga . Na Kitana Hamis.Mtu Mmoja aliyefamika kwa Jina la Jumanne Idi Mkazi wa Kata ya Sigino Kijiji cha Imbilili…
23 October 2024, 6:59 pm
Afya ya akili ni changamoto kwa vijana
Na Steven Noel. Vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa wanakabiliwa na changamoto ya afya ya akili kutkana na sababu mbalimbali likiwemo suala la mahusiano. Julieth Mageje muuguzi kitengo cha afya ya akili wilayani mpwawa anabainisha chanzo la tatizo…