
Radio Tadio
18 August 2023, 4:58 pm
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Sikonge imemwachia huru afisa muuguzi aliyekuwa akituhumiwa kwa ubakaji baada ya Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma hizo hivyo kuonekana hana hatia. Na Salma Abdul Muuguzi wa daraja la pili katika hospitali ya wilaya ya Sikonge…