
Serikali

24 January 2025, 1:34 pm
Serikali yaombwa kukamilisha ujenzi wa mitaro Mpwapwa
Wamesema pindi mvua zinaponyesha Maji yanaingia kwenye Nyumba zao hali inayo hatarisha usalama wa wananchi. Na Steven Noel.Wananchi wa mtaa wa hazina kata ya Vig’hawe wilaya ya Mpwapwa wameiomba serikali imalizie ujenzi wa mitaro ya maji kwenye barabara inayojengwa toka…

27 June 2024, 8:01 pm
Historia kutawala ‘Kozo’ kuhusishwa mauaji Bweni
Kijiji cha Bweni kilichopo wilaya ya Pangani, kina historia ya maadili ya kuvutia tangu enzi za mababu, lakini kwa miaka ya hivi karibuni kimeingia katika wingu la hofu kwa kuwa tukio hilo ni la pili la mauaji baada ya tukio…

22 June 2024, 10:37 am
RC Tanga: Hakikisheni mpaka June 28 hoja 19 zimejibiwa
Pamoja na kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 halmashauri ya wilaya ya Pangani imekuwa na hoja nyingi ambazo hazijajibiwa ikiwemo kumi na tisa za kamati ya kudumu ya Bunge. Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imepewa…