Radio Tadio

Serikali

22 June 2024, 10:37 am

RC Tanga: Hakikisheni mpaka June 28 hoja 19 zimejibiwa

Pamoja na kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 halmashauri ya wilaya ya Pangani imekuwa na hoja nyingi ambazo hazijajibiwa ikiwemo kumi na tisa za kamati ya kudumu ya Bunge. Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imepewa…