Radio Tadio

salam

1 January 2023, 5:57 pm

MAZINGIRA FM kutanua masafa 2023

Ally Nyamkinda Meneja Mazingira Fm Meneja wa kituo cha utangazaji cha radio Mazingira Fm Ally Simba Nyamkinda  amewashukuru wasikilizaji na wadau wote wa Redio Mazingira kwa mwaka 2022 huku akibainisha kuwa Mazingira Fm ipo kwa ajili yao. Hayo ameyasema  katika…