
Radio Tadio
11 May 2023, 5:50 pm
Feed the Future inasaidia Nchi katika kuendeleza sekta za kilimo ili kuchochea ukuaji wa uchumi na biashara ambayo huongeza mapato na kupunguza njaa umaskini na utapiamlo. Na Mindi Joseph. Serikali kwa Kushirikiana na Sekta Binafsi imejipanga kuendeleza sekta ya kilimo…