Radio Tadio

pemba

27 September 2023, 11:15 pm

Wanawake someni sayansi mkaongoze meli Pemba

Kutokana kwa uwepo wa wanawake wachache kwenye sekta ya bahari hasa kuwa mabaharia ndio asasi mbali mbali kuungana kuhamasisha maskuli ili wasome masomo ya sayansi wawepo kwenye sekta hiyo. Na Fatma Rashid Wanafunzi kisiwani Pemba wametakiwa kizingatia masomo ya sayansi…