
Radio Tadio
14 August 2023, 6:25 pm
Kwa mujibu wa Jarida la Jumuiya ya Moyo la Amerika linaelezea kuwa kula Parachichi kunaweza kupunguza hatari ya Ugonjwa wa Moyo na Mishipa kulingana na utafiti mpya uliochapishwa hivi karibuni. Na Abraham Mtagwa. Wananchi Jijini Dodoma wameshauriwa kuwa watumiaji wazuri…