
P.I.D

19 March 2025, 5:51 pm
Mpwapwa wapata mwarobaini malisho ya mifugo
Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…

8 January 2025, 2:44 pm
Wanaume jamii ya Masai watuhumiwa kuuza nyanda za malisho
Maeneo ya malisho yanayodaiwa kuuzwa niyale yaliyo Tengwa kwa shughuli za Ufungaji. Na Kitana Hamis.Wanaume jamii ya Kifungaji masai Kiteto Watuhumiwa Kuuza Nyanda za MlishoWakizungumza kwa hisia kali Baadhi ya Wanawake wa Jamii ya Kifungaji Masai wanasema Migogoro mingi ya…

14 October 2024, 7:57 pm
Ulishaji mifugo holela ni adui wa mazingira
Na Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wametakiwa kuachana na ufugaji holela ambao umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa kuangamiza miti inayo pandwa. Bwn. Innocent Makomba Afisa mazingira amesema hayo katika mahojiano maalum baada ya zoezi la upandaji miti katika shule ya…

7 April 2023, 5:23 pm
Zifahamu athari za ugonjwa wa P.I.D
Je mtu asipopata tiba au kutozingatia tiba aliyopewa atapata athari gani. Na Yussuph Hassan. Tukiendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo matibabu yake na leo tunazungumzia juu athari…

6 April 2023, 4:34 pm
Ifahamu tiba ya maambukizi ya via vya uzazi vya Mwanamke P.I.D
Huu ni mfululizo wa makala hii ya Afya ambapo kipindi kilicho pita tulingazia kuhusu P.I.D ni nini Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo na…