Radio Tadio

P.I.D

19 March 2025, 5:51 pm

Mpwapwa wapata mwarobaini malisho ya mifugo

Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…

8 January 2025, 2:44 pm

Wanaume jamii ya Masai watuhumiwa kuuza nyanda za malisho

Maeneo ya malisho yanayodaiwa kuuzwa niyale yaliyo Tengwa kwa shughuli za Ufungaji. Na Kitana Hamis.Wanaume jamii ya Kifungaji masai Kiteto Watuhumiwa Kuuza Nyanda za MlishoWakizungumza kwa hisia kali Baadhi ya Wanawake wa Jamii ya Kifungaji Masai wanasema Migogoro mingi ya…

14 October 2024, 7:57 pm

Ulishaji mifugo holela ni adui wa mazingira

Na Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wametakiwa kuachana na ufugaji holela ambao umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa kuangamiza miti inayo pandwa. Bwn. Innocent  Makomba Afisa mazingira  amesema hayo katika mahojiano maalum baada ya zoezi la upandaji miti katika shule ya…

7 April 2023, 5:23 pm

Zifahamu athari za ugonjwa wa P.I.D

Je mtu asipopata tiba au kutozingatia tiba aliyopewa atapata athari gani. Na Yussuph Hassan. Tukiendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo matibabu yake na leo tunazungumzia juu athari…