![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
27 April 2023, 6:13 pm
Kituo hicho pindi kitakapokamilika kinatarajia kuhudumia zaidi ya wananchi elfu 40 wa kata ya Nkuhungu. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabir Shekimweri amewataka wasimamizi wa ujenzi wa mradi wa kituo cha afya Cha Nkuhungu ndani ya…