Radio Tadio

Mtube

8 August 2023, 2:55 pm

Wakazi wa Mtube waeleza kunufaika na Bwawa

Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwemo Mito na Maziwa, licha ya kwamba Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa Kame lakini umejaaliwa kuwa na Mabwawa ambayo yanatumika katika Kilimo na Mwenye macho haambiwi Tazama. Na Mindi…