Radio Tadio

Mtama

29 August 2023, 4:32 pm

Dodoma wafurahishwa ongezeko la mtama sokoni

Kutokana na Shirika la Afya , mtama umeweza kuwa chakula muhimu katika kupambana  na changamoto ya udumavu pamoja na  unyafunzi kwa watoto. Na Astedi Bambora. Upatikanaji wa zao la mtama kwa wingi katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma kumewanufaisha…

1 June 2023, 2:14 pm

Wakulima wa mtama wanufaika na mbegu za mesia

Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote na zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la mtama mkoani Dodoma wamesema mbengu za mtama aina ya…

13 March 2023, 3:43 pm

Wananchi wilayani Bahi wasisitizwa kulima mtama

Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilaya ya Bahi kuhakikisha kila kaya inalima ekari mbili za mtama ili kuepuka adha ya kukosa chakula. Na Benard Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilayani humo kuhakikisha kila kaya…