
Radio Tadio
30 May 2022, 4:45 pm
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amesema eneo la msitu la Iyumbu Park likihifadhiwa ipasavyo linaweza kuwa chanzo cha utalii. Eneo hilo lina zaidi ya hekari 3000 limekuwa eneo maalum…
30 August 2021, 1:23 pm
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda amesema hatatoa kibali cha kuingiza sukari nchini kufuatia kuua ajira kwa watazania na kudidimiza uzalishaji wa miwa kwa wakulima Nchini. Akizungumza leo Jijini Dodoma katika uzinduzi wa matokeo ya sensa ya kilimo…