Radio Tadio
08/01/2026, 15:39
Changamoto ya umbali wa shule, inayowalazimu wanafunzi kutembea umbali mrefu na wakati mwingine kuvuka barabara, jambo linalohatarisha usalama wao na kusababisha baadhi yao kukata tamaa na kuacha shule. Na Victor Chigwada. Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya shule za msingi…
26/07/2023, 17:26
Ujenzi wa bweni hilo unatarajia kupunguza adha kwa wanafunzi hao katika shule hiyo kutokana wengi kutembea umbali mrefu hadi shuleni hapo hali inayohatarisha usalama wao. Na Fred Cheti. Kukamilika wa kwa ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike katika shule…