
Radio Tadio
3 August 2023, 3:53 pm
Shule ya msingi Magungu awali ilikuwa na madarasa 2 na kusababisha wanafunzi kusoma kwa kupokezana. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa Madarasa Mapya 9 na matundu ya vyoo 16 katika shule ya Msingi Magungu Wilayani Chemba kupitia mradi wa BOOST umefikia…
1 August 2023, 4:17 pm
Waswahili wanasema penye nia pana njia hivyo ndivyo Leonard Daudi amesaidia kutatua changamoto kubwa ya maji katika eneo lake. Na Mindi Joseph. Mwananchi mmoja katika kijiji cha Hamia kata ya Mpendo wilayani Chemba mkoani Dodoma amejitolea kuchimba kisima cha maji na…