Mpendo
12 Januari 2026, 1:26 um
Wakuu wa shule watakiwa kuepuka ucheleweshaji wa masomo
Kauli hiyo inatokana na Waraka wa Elimu Na. 05 wa mwaka 2025 na Waraka wa Elimu Na. 06 wa mwaka 2025, ambapo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza rasmi ratiba ya muhula wa masomo kwa shule za awali, msingi…
3 Agosti 2023, 3:53 um
Ujenzi wa madarasa shule ya msingi Magungu wafikia asilimia 85
Shule ya msingi Magungu awali ilikuwa na madarasa 2 na kusababisha wanafunzi kusoma kwa kupokezana. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa Madarasa Mapya 9 na matundu ya vyoo 16 katika shule ya Msingi Magungu Wilayani Chemba kupitia mradi wa BOOST umefikia…
1 Agosti 2023, 4:17 um
Mwananchi Mpendo anusuru vitongoji vitatu adha ya maji
Waswahili wanasema penye nia pana njia hivyo ndivyo Leonard Daudi amesaidia kutatua changamoto kubwa ya maji katika eneo lake. Na Mindi Joseph. Mwananchi mmoja katika kijiji cha Hamia kata ya Mpendo wilayani Chemba mkoani Dodoma amejitolea kuchimba kisima cha maji na…