Mlimwa
19 January 2026, 15:33
Wagombea 67 wachukua fomu uongozi soko la Machinga
Uchaguzi wa viongozi katika soko hilo unatarajiwa kufanyika Januari 24, 2026. Na Lilian Leopold. Jumla ya wagombea 67 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Nafasi zinazowaniwa ni pamoja…
12 January 2026, 15:13
Uchaguzi viongozi soko la Machinga na matumaini kedekede
Kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandikishaji kuelekea uchaguzi wa viongozi wa soko hilo wafanyabiashara soko la wazi la Machinga Complex wamesema matarajio yao ni kuwa na viongozi wawajbikaji. Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa Soko la Wazi la Machinga wameeleza matumaini…
2 August 2023, 14:59
Mlimwa walalamikia upungufu wa huduma ya maji
Ngulelo amesema kuwa hali hiyo inawalazimu kutumia maji ambayo si safi na salama na kuiomba Serikali kuingili kati suala hilo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlimwa wilayani Chamwino wamelalamikia changamoto ya upungufu wa huduma ya maji hali inayowapa…