Radio Tadio

Mlimwa

2 Agosti 2023, 2:59 um

Mlimwa walalamikia upungufu wa huduma ya maji

Ngulelo amesema kuwa hali hiyo inawalazimu kutumia maji ambayo si safi na salama na kuiomba Serikali kuingili kati suala hilo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlimwa  wilayani Chamwino wamelalamikia changamoto ya upungufu wa huduma ya maji hali inayowapa…