
Radio Tadio
15 July 2024, 5:13 pm
Maahimisho ya Sokwe mtu huadhimishwa kila july 14 Tanzania ikiwa ni moja ya nchi wanachama wa Umoja huo unao adhimisha maadhimisho hayo. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa sokwe mtu ni mnyama muhimu kwa Taifa letu kwani wamekuwa kivutio tosha kwa watalii…
9 March 2023, 5:29 pm
Mkuu wa Mkoa amewataka wanawake kusimama imara katika jamii kupinga ukatili wa kijinsia pamoja na kutetea haki za watu wenye ulemavu. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kusimama imara kutetea haki za watoto pamoja na haki za watu wenye ulemavu Nchini.…