mitandao
12 July 2026, 7:08 am
GGML kuendeleza mapambano ya VVU kupitia Kili challenge 2026
GGML Kili Challenge ilianzishwa mwaka 2001 na Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa lengo la kuchangisha fedha za kusaidia mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI nchini Tanzania. Na: Ester Mabula Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) umeendelea kushirikiana na Serikali…
23 June 2022, 14:33
Serikali yaombwa kufanyia mabadiliko sheria ya mtandao
Na;Mindi Joseph . Serikali imeombwa kufanya mabadiliko katika sheria ya Mtandao ambayo imetajwa kuwa na mapungufu na kuchangia watu kuchapisha na kutuma taarifa za watu mtandaoni pasipo kuwa na idhini ya wahusika. Taswira ya habari imezungumza na Mwanasheria kutoka Taasisi…
13 September 2021, 13:35
Wilaya ya Kongwa yaja na mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za sekondari n…
Na; Beanard Filbert. Mkuu wa wilaya ya Kongwa Remidius Emannuel amesema wilaya hiyo imeweka mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za msingi na sekondari katika wilaya hiyo lengo ikiwa wanafunzi wote kupata chakula shuleni na kudhibiti tatizo la lishe…