
Radio Tadio
23 June 2022, 2:33 pm
Na;Mindi Joseph . Serikali imeombwa kufanya mabadiliko katika sheria ya Mtandao ambayo imetajwa kuwa na mapungufu na kuchangia watu kuchapisha na kutuma taarifa za watu mtandaoni pasipo kuwa na idhini ya wahusika. Taswira ya habari imezungumza na Mwanasheria kutoka Taasisi…
13 September 2021, 1:35 pm
Na; Beanard Filbert. Mkuu wa wilaya ya Kongwa Remidius Emannuel amesema wilaya hiyo imeweka mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za msingi na sekondari katika wilaya hiyo lengo ikiwa wanafunzi wote kupata chakula shuleni na kudhibiti tatizo la lishe…