Radio Tadio
27 November 2025, 3:53 pm
Itakumbukwa kuwa Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 kote duniani. Na Seleman Kodima.Halmashauri ya Chamwino imezindua kampeni na kutoa elimu kuelekea maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani, katika Kijiji cha Mjelo,…
4 July 2023, 7:28 pm
Serikali ilitoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na rasimu ya Mitaala ya elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu. Na Aisha Shaban.…