![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
27 July 2023, 4:40 pm
Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…