Radio Tadio

mimba

8 Januari 2026, 4:25 um

Wazazi, walezi wahimizwa kusaidia mabadiliko ya tabia kwa vijana

Akihitimisha, Mtahu amebainisha mikakati ya KISEDETI ikiwemo kuendelea kuandaa programu za malezi salama, kuwatambua na kuwafuatilia watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani pamoja na kuanzisha mashamba darasa, hatua zinazolenga kupunguza idadi ya watoto na vijana wanaoishi na kufanya kazi mitaani…

27 Julai 2023, 4:40 um

Atuhumiwa kumbaka, kumpa ujauzito mwanae wa kambo

Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…