
Radio Tadio
10 November 2023, 17:14
Mwenyekiti wa UVCCM Mbeya mjini Ndg Clemence Mwandemba amempongeza Rais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan Kwa kuwa kiungo hatari mchezeshaji katika Ushindi wa Dr Tulia, pale Nchini Angola ,Dr Samia amepiga asist nyingi Pale IPU na Dr Tulia zote ameweka…