Radio Tadio

mchezo

10 November 2023, 17:14

Tumejiandaa vyema kumpokea Dr. Tulia

Mwenyekiti wa UVCCM Mbeya mjini  Ndg Clemence Mwandemba  amempongeza  Rais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan  Kwa kuwa kiungo hatari mchezeshaji katika Ushindi wa Dr Tulia, pale Nchini Angola ,Dr Samia amepiga asist nyingi Pale IPU na Dr Tulia zote ameweka…