![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
31 May 2023, 1:17 pm
Wananchi wamehimizwa pia kuendelea kutunza mazingira kwa kushiriki katika upandaji miti. Na Fred Cheti. Wazazi wa mtaa wa Mbwanga kata ya Mnadani mkoani Dodoma wamehimizwa kusimama vizuri katika malezi ya watoto ili kupunguza utoro wa wanafunzi unaotajwa kukithiri kwenye baadhi…