Radio Tadio
Mbwanga
31 May 2023, 1:17 pm
Wazazi Mbwanga wahimizwa kusimamia malezi kukomesha utoro
Wananchi wamehimizwa pia kuendelea kutunza mazingira kwa kushiriki katika upandaji miti. Na Fred Cheti. Wazazi wa mtaa wa Mbwanga kata ya Mnadani mkoani Dodoma wamehimizwa kusimama vizuri katika malezi ya watoto ili kupunguza utoro wa wanafunzi unaotajwa kukithiri kwenye baadhi…