Radio Tadio

Mbinga

6 Januari 2026, 16:46

Wananchi Miyuji waongeza tahadhari kwa watoto msimu wa mvua

Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…