
Radio Tadio
2 June 2023, 1:44 pm
Na Bernadetha Mwakilabi. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa inatarajia kuanzisha mnada mpya wa kisasa wa nyama choma katika eneo la Mbande utakaosaidia kukuza uchumi wa wafanyabiashara na kuitangaza wilaya hiyo kibiashara. Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya…