Radio Tadio
26 May 2026, 16:32
Watoto wafundishwe kutambua hali hatarishi na kuripoti vitisho, ili kuepuka kujiingiza kwenye mazingira yanayoweza kuathiri masomo yao. Ili kuhakikisha mtoto hakatishi masomo yake, mzazi au mlezi anapaswa kumlinda dhidi ya hatari kama mimba za utotoni, ajira ya watoto, na ukatili;…
15 September 2023, 06:39
Ikumbukwe kuwa Idara ya Kinga, Wizara ya Afya imeanzisha Mpango kwa watumishi kufanya mazoezi mara mbili kwa wiki siku ya Jumatano na Ijumaa jioni mara baada ya saa za kazi kuanzia saa 9:30 hadi saa 11:00 jioni. Na Mindi joseph.…