Radio Tadio

Marathoni

12 Agosti 2025, 11:27 mu

NGO’s zatakiwa kuwajibika katika kuwahudumia wananchi

Naibu Waziri Mwanaidi ameeleza kwamba uwazi na uwajibikaji wa Mashirika hayo ndiyo msingi wa kutambuliwa kwa mchango wao katika maendelo ya Taifa. Na Mariam Matundu.Mashirika yasiyo ya Kiserikali yametakiwa kuwa wazi na kuwajabika katika utekelezaji wa majukumu yao hasa kuwahudumia…

22 Mei 2023, 5:53 um

Mtembezi Marathon kutangaza utalii wa ndani

Akizungumza baada ya kikao hicho mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabiri Shekimweri amefafanua malengo ya mbio hizo. Na Alfred Bulahya. Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Dodoma, Mtembezi Adventures, Pamoja na Dodoma Media Group imeandaa mbio maalum (Mtembezi Marathoni)…