mamcu
20 Novemba 2025, 2:14 um
Mtindo wa maisha chanzo cha magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza
Dkt. Fransis ameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha huduma za afya na kusisitiza umuhimu wa kila mwananchi kuwa na bima ya afya ili kurahisisha upatikanaji wa matibabu pindi wanapohitaji huduma. Na Anwary Shaban.Shirika la Afya Duniani (WHO) limethibitisha kuongezeka kwa magonjwa…
17 Novemba 2025, 4:07 um
Watakiwa kutumia fursa za kiafya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza
Wito huo umetolewa na Bi. Florian Kazi, mwakilishi wa shirika la External International kutoka China, linalojihusisha na utoaji tiba kwa magonjwa sugu bila upasuaji, katika semina fupi iliyofanyika kanisa la Mt. Joseph, Ihumwa jijini Dodoma. Na Victor Chigwada.Wananchi wametakiwa kutumia…
13 Novemba 2025, 4:09 um
Wananchi watakiwa kujitokeza upimaji magonjwa yasiyo ambukiza
Zoezi hilo lilianza Novemba 12 na linatarajiwa kukamilika Novemba 14, 2025, huku wataalamu wa afya wakiendelea kutoa elimu kuhusu kinga, umuhimu wa kufanya mazoezi ya mwili, na matumizi sahihi ya vyakula vinavyosaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukiza. Na; Lilian…
7 Febuari 2023, 13:31 um
Mamcu & Tanecu zarejesha kwa jamii
Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao cha Masasi, Mtwara Cooperative Union (MAMCU) na Tandahimba, Newala Cooperative Union (TANECU) vimetoa Gawio la Shilingi Milioni 253 kuchangia utatuzi wa changamoto zilizopo katika sekta za Elimu, Maji na Afya kwa mkoa wa Mtwara.…
28 Machi 2022, 2:30 um
Watoto wenye upungufu wa damu na maumivi ya viungo wametakiwa kupelekwa hospital…
Na;Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa Wazazi na Walezi Jijini Dodoma kuwapeleka vituo vya afya watoto wenye upungufu wa damu na maumivu ya viungo mara kwa mara, kwani inawezekana ikawa moja wapo ya dalili ya ugonjwa wa seli mundu (siko…