Radio Tadio

MAKISATU

3 October 2025, 10:51 am

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia maadili kazini

Picha ya pamoja ya watumishi wa umma na Naibu Katibu Mkuu Bi. Hilda Kabissa alipokuwa akifungua kikao kazi cha sita cha wadau wa usimamizi wa maadili ya kitaaluma na utendaji. Picha na Selemani Kodima. Hili linajiri baada ya Ofisi ya…

26 September 2025, 12:41 pm

VEO Paranga watakiwa kuwajibika kwa wananchi

Hatua hizi zinakuja baada ya Shirika la AFNET kwa kushirikiana na Ofisi ya TAKUKURU wilayani Chemba na Kamati ya Ufuatiliaji ngazi ya jamii, kuendesha zoezi la kubaini miradi ya kufuatilia katika vijiji vya Kelema Kuu na Sori mwezi Agosti mwaka…

30 July 2025, 12:57 pm

Wajibu, Policy forum wazindua ripoti ya uwajibikaji

Ikumbukwe kuwa Ripoti za uwajibikaji zinazotolewa na taasisi ya Wajibu huangazia hoja kuu zilizobainishwa na CAG, kama matumizi mabaya ya fedha, miradi iliyotelekezwa, au taasisi zilizopata hati mbaya3.Hii husaidia wananchi kuelewa maeneo yenye changamoto na kuhoji uwajibikaji wa viongozi wa…

24 April 2025, 5:56 pm

Kibano watumishi wasiowajibika kazini

Watumishi watakaoshindwa kufikia kiwango hicho hawatapandishwa vyeo wala kuongezewa mishahara. Na Mariam Kasawa Serikali imetangaza mkakati wa kuwachukulia hatua kali watumishi wa umma wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo, ikiwemo kutowapandisha madaraja wala kuongeza mishahara yao. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi,…

27 April 2023, 6:42 pm

Wajasiriamali waeleza kunufaika na wiki ya ubunifu

Katika maenesho hayo dodoma tv imeshuhudia bidhaa mbalimbali ambazo zimebuniwa na wajasiriamali pamoja na wanafunzi wabunifu kutoka katika tasisi mbalimbali ambapo wanatumia fursa hiyo katika kuzionyesha kwa jamii katika maonesh ya wiki ya ubunifu maarufu kama MAKISATU. Na Thadei Tesha.…