![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
4 April 2023, 3:20 pm
Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ya miundombinu ya barabara kutokana na umuhimu wake katika shughuli mbalimbali za kijaamii pamoja na kiuchumi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojihusisha na biashara…