
Radio Tadio
October 18, 2023, 12:46 am
Chuo Kikuu cha Iringa kimemtunuku Shahada ya Juu ya Heshima Hayati Mchungaji Dkt. Tupevilwe Lugano Sanga. Mchungaji Tupevilwe Lugavano Sanga aliyezaliwa 1898, ni Mchungaji wa mwanzoni kabisa katika jamii ya Wakinga aliyetoa maisha yake kumtumikia Mungu pamoja na kuhamasisha maendeleo…