Radio Tadio

Kilosa

13 May 2026, 17:49

Mitazamo hasi inakwamishaje vijana kujiingizia kipato?

Masuala ya Kijamii Masuala ya kijamii kama vile ukatili wa kijinsia, ndoa za utotoni, na mimba za mapema pia ni masuala muhimu kwa vijana nchini Tanzania. Kwa mfano, takribani asilimia 37 ya wasichana nchini Tanzania wanaozwa kabla ya kufikia umri…

24 October 2025, 15:00

Mitandao ya kijamii nyenzo muhimu katika kujifunza mambo mapya

Mitandao ya kijamii wameweza imewezesha kujifunza mambo mbalimbali, kupata taarifa na kufanya biashara kupitia mitandaoni. Na Anwary Shaban.Wananchi wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kukuza uchumi, kuongeza maarifa, na kuboresha shughuli zao za kila siku badala ya kuitumia…

4 February 2023, 22:42

Hatimaye migogoro ya mashamba yatatuliwa Kilosa

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuwa, ihakikishe inapima eneo la Shamba ambalo Serikali ilikabidhi Halmashauri hiyo na kuwapatia Wananchi kwa kuwapatia hati ndogo inayoonyesha umiliki halali wa eneo hilo. Na Epiphanus Danford Waziri huyo…

11 April 2022, 16:11

Wananchi watakiwa kutumia fursa mwezi wa Ramadhani

Na;Yussuph Hassan. Wananchi Mkoani Dodoma wameshauriwa kutumia fursa zinazopatikana kupitia Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kupunguza ugumu wa maisha. Ushauri huo umetolewa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mustafa Rajabu wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema…