Katoliki
4 Disemba 2025, 3:44 um
Upi umuhimu wa lishe bora kabla ya ujauzito kwa mama na mtoto?
Kwa mujibu wa Tanzania Demographic and Health Survey (TDHS), kiwango cha udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano kimeshuka kutoka asilimia 34 mwaka 2015 hadi wastani wa asilimia 30 mwaka 2022. Na Yussuph Hassan. Wanawake wameshauriwa kuzingatia lishe hasa kabla…
17 Novemba 2025, 3:36 um
Umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa kabla ya kujifungua
Leo katika kipengele cha mama na mtoto tunaangazia umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa vya kujifungulia mapema. Na Anitha Mganga Midwife Anitha Mganga anaeleza pia anabainisha ni vifaa gani mama anavyopaswa kuandaa kabla ya kujifungua.
6 Oktoba 2025, 11:11 mu
Chamwino kunufaika na huduma bora za afya ya uzazi
Picha ni Mganga Mkuu jiji la Dodoma Dkt. Pima Sebastian na wadau wakifungua jengo la mama na mtoto zahanati ya Chamwino. Picha na Lilian Leopold. Mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwaka 2018 na kukamilika mwezi Septemba 2025, umekuwa miongoni mwa…
22 Septemba 2025, 2:44 um
Mambo anayopaswa kuzingatia mama kabla hajabeba ujauzito
Ungana na Midwife Anitha Mganga ili uweze kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Afya ya mama na mtoto. Na Mariam Kasawa.Wiki hii katika kipindi Cha ijali Afya yako kipengele Cha mama na mtoto tunaangazia Afya ya mama kabla hajabeba ujauzito.
10 Agosti 2023, 12:10 um
Jimbo kuu katoliki Dodoma lapokea sanamu ya Bikira Maria
Kwa mujibu wa imani ya kanisa katoliki, Mama bikira maria ndiye mama wa Yesu kristo Mkombozi wa ulimwengu, ambaye ni muombezi wa kanisa ambapo baada ya kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, Muasisi wa Taifa hili hayati Julius Kambarage…
14 Juni 2023, 12:10 um
Viongozi kanisa katoliki waaswa kudumisha amani, baraka
Viongozi wamekumbushwa kuwa na mshikamo ili kuepusha migongano mbalimbali isiyokuwa ya lazima. Na Bernad Magawa. Viongozi wa kanisa jimbo kuu katoliki Dodoma wameaswa kuwa wasikilizaji wazuri wa shida za wale wanaowaongoza huku wakikumbushwa kufanya utafiti wa kina kabla wa kutolea…