Radio Tadio

Jiji

5 Novemba 2025, 4:35 um

Johari aapishwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali

Johari ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Novemba 3, 2025, saa chache baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Na Yussuph HassanRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa…

3 Julai 2023, 2:15 um

Halmashauri ya jiji Dodoma kugawa viwanja 1,035 kama fidia

Mwaka wa fedha ujao 2023/2024 halmashauri inatarajia  kupima takribani viwanja 6,000. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma inatarajia kugawa jumla ya viwanja 1,035 kwa kufidia na kuwapunguzia  wananchi wanaodai viwanja takribani viwanja 3,995 eneo la Nala. Hayo yameelezwa…