Radio Tadio

Jela

21 Januari 2026, 15:29

Ukame waathiri mifugo Kiteto, wafugaji waomba msaada

Hali hiyo imewalazimu wafugaji kuanza kutumia njia mbadala ili kunusuru mifugo yao, huku wakikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa pumba na malisho. Na Kitana Hamis. Ukame unaoendelea wilayani Kiteto mkoani Manyara umeendelea kuwaathiri wafugaji, baada ya mifugo kukosa chakula na…