Radio Tadio
17 Agosti 2022, 4:04 um
Hali ya afya ya watu wa familia moja waliopata madhara baada ya kula chakula kinachohisiwa kuwa kimechanganyika na sumu wilayani Pangani Mkoani Tanga inaendelea vizuri na tayari saba kati yao wameruhusiwa kutoka hospitalini huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.…
11 Oktoba 2021, 12:45 um
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kunywa pombe kupita kiasi ili kuepusha athari ambazo zinaweza kujitokeza ikiwemo matatizo ya akili. Hayo yameelezwa na Bi. Gladnes Munuo katibu mkuu kutoka taasisi ya TAANET ambayo inahusika na kupinga unywaji wa pombe kupita…