
GM_runaliltd

11 February 2025, 6:14 pm
Waandishi watakiwa kutoa elimu kwa jamii kuhusu marburg
Mafunzo ya waandishi wa habari katika radio za kijamii yamendaliwa na mtandao wa radio jamii,serikali ya mkoa wa kagera pamoja na wizara ya afya ambapo yanafanyika siku 3 kuanzia tarehe 10 ,12,2025 katika manispaa ya Bukoba. Na Benard Filbert.Waandishi wa…

20 April 2023, 10:31 pm
Nje ya ufuta na korosho hakuna halmashauri za Ruangwa, Liwale na Nachingwea
Na Loveness Daniel Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amewataka wakuu wa wilaya zote zinazounda ushirika wa chama kikuu cha RUNALI kusimamia kwa umakini na kuweka jitihada kubwa katika zao la korosho na ufuta katika halmashauri zao kwani…

19 April 2023, 11:29 pm
RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi
Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali wilaya ya ruangwa.…