Radio Tadio

GM_runaliltd

RUNALI YAWANOA VIONGOZI VYAMA VYA MSINGI

19 April 2023, 11:29 pm

RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi

Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika  jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali  wilaya ya ruangwa.…