Radio Tadio
17 Agosti 2023, 2:02 um
Na Mindi Joseph. Jumla ya mazao 13 nchini yametajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani ikiwa ni hatua kubwa kutoka mazao machache ndani ya miaka 3 iliyopita. Hii ni kufuatia uhamasishaji wa matumizi ya mfumo huu kwa wananchi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji…