Radio Tadio

Doyodo

20 May 2025, 3:53 pm

Ukosefu wa vivuko reli ya SGR kilio kwa wakazi wa Mnase

Wananchi wanadai kuwa changamoto hii imeshindwa kupatiwa ufumbuzi. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya malechela ,Lusinde na sokoine Kijiji Cha Mnase wameendelea kulia na changamoto ya kukosekana kivuko baina ya wananchi na reli ya mwendokasi(SGR) Wakieleza namna changamoto hiyo…