DIPLOMASIA
17 August 2026, 10:36 pm
TGNP yawanoa viongozi Babati kupinga ukatili wa kijinsia
Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP umafanya mafunzo ya siku mbili kwa baadhi ya Viongozi kutoka serikali ngazi ya vijiji na kata na wadau mbali mbali wanaojishughulisha na kutoa msaada kwa wahanga au manusura wa matukio ya ukatili wa kijinsia. Na…
15 August 2026, 14:31
MV Liemba yafanya majaribio ziwa Tanganyika
MV Liemba, ambayo imekuwa sehemu muhimu ya historia ya usafiri katika Ziwa Tanganyika, inatarajiwa kurejea katika huduma ikiwa ni hatua muhimu katika juhudi za serikali kuimarisha usafiri wa majini nchini. Na Mwandishi wetu Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema…
23 April 2026, 10:45 pm
Aliyechomewa gari Geita aipongeza ripoti ya tume ya uchunguzi
Matumaini makubwa ya wananchi wa Geita kupitia Ripoti ya uchunguzi ni taifa kuimarisha mshikamano, amani, na imani ya wananchi kwa serikali yao. Na Mrisho Sadick: Baada ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti yake kwa Rais…
21 January 2026, 15:54
Kaimu Mkurugenzi Bodi ya Waandishi afanya ziara Dodoma
Na Mariam Kasawa. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Bw. Patric Kipangula, Januari 20, 2026, alifanya ziara ya kutembelea baadhi ya vituo vya redio na runinga jijini Dodoma. Lengo la ziara hiyo ni kukagua utekelezaji…
18 September 2025, 13:58
Wanahabari watakiwa kuzingatia maadili kuelekea uchaguzi mkuu
Waandishi wa habari wametakiwa kutambua kuwa wana haki ya kuripoti habari zote za uchaguzi bila ubaguzi wowote. Na Mariam Kasawa. Tume ya haki za binadamu na utawala bora imewataka waandishi wa habari kuzingatia maadili kuepuka lugha za matusi, takrima na…
3 June 2022, 12:02
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland kutembelea Pangani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland, Bw. Joe Hackett, anafanya ziara nchini Tanzania kuanzia tarehe 3 mpaka 5 Juni 2022, akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Ireland (Irish Aid), Bw. Michael Gaffey. Ziara…
31 August 2021, 12:31
Wahandisi 17 wachukuliwa hatua mbalimbali za kisheria kwa kukiuka maadili na tar…
Na; Mariam Matundu. Wahandisi 17 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kisheria kwa kukiuka maadili na taratibu za taaluma yao kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021. Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Msajili wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Mhandisi Patrick…