Radio Tadio

BOOST

5 July 2023, 3:31 pm

Senyamule akabidhiwa miradi ya BOOST wilayani Bahi

Senyamule amepongeza uongozi wa wilaya ya Bahi kwa mshikamano ambao umewafanya kuwa wa kwanza kukamilisha miradi hiyo. Na Bernad Magawa Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Rosemary Senyamule amekabidhiwa jumla ya madarasa 51, vyoo 63, majengo 2 ya utawala  pamoja…

19 April 2023, 2:20 pm

BOOST kuboresha elimu kongwa

Mradi wa BOOST ulianzishwa na Serikali chini ya ufadhili wa benki ya dunia unaosimamiwa na ofisi ya Rais TAMISEMI  utatumia zaidi ya bilioni 1 na milioni 352 kutekeleza ujenzi huo ambao ni moja ya afua zake. Na Bernadetha Mwakilabi. Mradi…