![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
18 April 2023, 1:24 pm
Katibu wa jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi wilayani humo amekemea mwenendo wa migogoro hiyo kwani itawagharimu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Na Nizar Mafita. Migogoro na maslahi binafsi ya viongozi na wananchi katika Kata ya Bolisa…