Radio Tadio

Bank

3 January 2025, 2:13 pm

Toto afya kadi kulenga hata mtoto asiyesoma

Na Seleman Kodima.Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF ofisi ya Dodoma umesema kipengele kipya cha toto afya kadi kitalenga hata mtoto asiyesoma shule hali itakayomwezesha kusajiliwa katika mfumo. Hayo yamesemwa na Meneja wa NHIF Dodoma Fidelis Shauritanga wakati…

18 December 2024, 3:15 pm

NHIF yarejesha toto afya kadi

Mpango wa Toto Afya Kadi utasaidia familia za wananchi hasa zile zenye watoto wenye changamoto za kiafya. Na Mariam Matundu.Waziri wa Afya Mh. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya…

11 April 2023, 1:34 pm

Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo

Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.