Radio Tadio

Bank

11 April 2023, 1:34 pm

Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo

Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.