Radio Tadio

Baiskeli

17 Disemba 2025, 5:02 um

Izack Enterprises yaja na ofa msimu wa sikukuu

Na Bennard Komba. Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya kielektroniki Izack Enterprises iliyopo Dodoma imekuja na ofa za msimu wa sikukuu lengo ni kuwa karibu na wateja katika huduma zao ambazo wamekuwa wakitoa. Muandishi wetu Benard Komba ametembelea katika…

13 Julai 2023, 11:49 mu

Baiskeli 58 zatolewa kwa vikundi vya wanawake UWT Tabora

Jumla ya baiskeli 58 zimetolewa na kugawiwa; baiskeli mbili kila kata kwa vikundi vya wanawake UWT pamoja na vijana mkoani Tabora  ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Zaituni Juma Mbunge wa viti maalum mkoani Tabora Munde Tambwe amesema baiskeli hizo zilizotolewa…