Storm FM
mbogwe
30 March 2021, 1:59 am
Barabara yapewa jina la JPM wilayani Mbogwe Mkoani Geita
Mbunge wa jimbo la mbogwe Nikodemas Maganga ameamua kuiita MAGUFULI ROAD barabara ya kilomita 3 inayotengenezwa kpitia fedha zilizotolewa na hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kutambua mchango wake katika wilaya hiyo. Mbunge Maganga Amesema kutokana na mchango mkubwa wa…