maonesho
2 May 2024, 10:23 am
Makonda asisitiza GGML kuhakikisha inabadilisha maisha ya wakazi wa Geita
Mgodi wa GGML umeendelea kushirikiana na serikali kuwaletea maendeleo wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta za afya , elimu na uchumi. Na Mwandishi wetu: Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita…
29 April 2024, 3:18 pm
Biteko atembelea banda la GGML maonesho ya OSHA
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri mkuu na waziri wa nishati Dkt. Dotto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati…
11 April 2024, 5:49 pm
Maonesho ya biashara, viwanda na kilimo kuanza mwezi Mei Geita
Katika kukuza fursa za kibiashara , kilimo na viwanda Mkoa wa Geita huandaa kila mwaka maonesho yanayogusa sekta hizo ili wahusika waweze kuyatumia kujijenga zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Zaidi ya wajasiriamali 200 na makampuni makubwa kutoka ndani na nje ya…