Sibuka FM
Watoto.
23 June 2021, 9:55 am
Wilaya ya Maswa yaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kipekee.
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kushirikiana na vyombo vya kisheria katika kuhakikisha inatokomeza ukatili kwa watoto. Kauli hiyo imetolewa na Afisa tarafa, tarafa ya Nughu Ndugu Venance Saria kwa niaba ya mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh, Aswege Kaminyoge …